Yn. 21:11 SUV

11 Basi Simoni Petro akapanda chomboni, akalivuta jarife pwani, limejaa samaki wakubwa, mia hamsini na watatu; na ijapokuwa ni wengi namna hiyo, jarife halikupasuka.

Kusoma sura kamili Yn. 21

Mtazamo Yn. 21:11 katika mazingira