1 Kwa hiyo Bwana, alipofahamu ya kuwa Mafarisayo wamesikia ya kwamba, Yesu anafanya wanafunzi wengi kuliko Yohana, na kuwabatiza,
2 (lakini Yesu mwenyewe hakubatiza, bali wanafunzi wake,)
3 aliacha Uyahudi, akaenda zake tena mpaka Galilaya.
4 Naye alikuwa hana budi kupita katikati ya Samaria.