Yn. 9:16 SUV

16 Basi baadhi ya Mafarisayo wakasema, Mtu huyo hakutoka kwa Mungu, kwa sababu haishiki sabato. Wengine wakasema, Awezaje mtu mwenye dhambi kufanya ishara kama hizo? Kukawa matengano kati yao.

Kusoma sura kamili Yn. 9

Mtazamo Yn. 9:16 katika mazingira