41 Basi Adonia, na wageni wote waliokuwa pamoja naye, wakasikia hayo walipokuwa wamekwisha kula. Naye Yoabu aliposikia sauti ya panda alisema, Za nini kelele hizi za mji uliotaharuki?
Kusoma sura kamili 1 Fal. 1
Mtazamo 1 Fal. 1:41 katika mazingira