1 Fal. 1:41 SUV

41 Basi Adonia, na wageni wote waliokuwa pamoja naye, wakasikia hayo walipokuwa wamekwisha kula. Naye Yoabu aliposikia sauti ya panda alisema, Za nini kelele hizi za mji uliotaharuki?

Kusoma sura kamili 1 Fal. 1

Mtazamo 1 Fal. 1:41 katika mazingira