42 Naye alipokuwa katika kunena, tazama Yonathani, mwana wa Abiathari kuhani, akafika. Naye Adonia akasema, Karibu; maana wewe u mtu mwema, unaleta habari njema.
Kusoma sura kamili 1 Fal. 1
Mtazamo 1 Fal. 1:42 katika mazingira