1 Fal. 10:21 SUV

21 Na vyombo vyote vya kunywea vya mfalme Sulemani vilikuwa vya dhahabu, na vyombo vyote vya nyumba ya mwitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu iliyosafika; hakuna vya fedha, fedha haikuhesabiwa kuwa kitu siku za Sulemani.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 10

Mtazamo 1 Fal. 10:21 katika mazingira