1 Fal. 10:22 SUV

22 Kwa kuwa mfalme alikuwa na merikebu za Tarshishi baharini pamoja na merikebu za Hiramu; mara moja katika miaka mitatu huja merikebu za Tarshishi, zikileta dhahabu, na fedha, na pembe, na nyani, na tausi.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 10

Mtazamo 1 Fal. 10:22 katika mazingira