40 Basi Sulemani akataka kumwua Yeroboamu, lakini Yeroboamu akaondoka, akakimbilia Misri, kwa Shishaki, mfalme wa Misri, akakaa katika Misri hata wakati wa kufa kwake Sulemani.
Kusoma sura kamili 1 Fal. 11
Mtazamo 1 Fal. 11:40 katika mazingira