13 Je! Bwana wangu hakuambiwa nilivyofanya hapo Yezebeli alipowaua manabii wa BWANA? Jinsi nilivyowaficha manabii wa BWANA, watu mia, hamsini hamsini katika pango, nikawalisha chakula na kuwapa maji?
Kusoma sura kamili 1 Fal. 18
Mtazamo 1 Fal. 18:13 katika mazingira