1 Fal. 19:14 SUV

14 Akasema, Nimeona wivu mwingi kwa ajili ya BWANA, Mungu wa majeshi; kwa kuwa wana wa Israeli wameyaacha maagano yako, na kuzivunja madhabahu zako, na kuwaua manabii wako kwa upanga; nami nimesalia, mimi peke yangu; nao wanitafuta roho yangu waiondoe.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 19

Mtazamo 1 Fal. 19:14 katika mazingira