1 Fal. 22:13 SUV

13 Na yule mjumbe, aliyekwenda kumwita Mikaya, akamwambia, akasema, Angalia sasa, maneno ya manabii kwa kinywa kimoja husema mema kwa mfalme; neno lako na liwe, nakusihi, kama neno la mmojawapo wao, ukaseme mema.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 22

Mtazamo 1 Fal. 22:13 katika mazingira