19 Mikaya akasema, Sikia basi neno la BWANA; Nalimwona BWANA ameketi katika kiti chake cha enzi, na jeshi lote la mbinguni wamesimama upande wa mkono wake wa kuume na wa kushoto.
Kusoma sura kamili 1 Fal. 22
Mtazamo 1 Fal. 22:19 katika mazingira