1 Fal. 22:43 SUV

43 Akaiendea njia yote ya Asa babaye; wala hakugeuka, akifanya yaliyo mema machoni pa BWANA. Lakini mahali pa juu hapakuondolewa; watu wakaendelea kutoa dhabihu wakafukiza uvumba katika mahali pa juu.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 22

Mtazamo 1 Fal. 22:43 katika mazingira