1 Fal. 3:15 SUV

15 Naye Sulemani akaamka, na kumbe! Ni ndoto. Akaenda Yerusalemu, akasimama mbele ya sanduku la agano la BWANA, akatoa sadaka za kuteketezwa, akatoa na sadaka za amani; akawafanyia karamu watumishi wake wote.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 3

Mtazamo 1 Fal. 3:15 katika mazingira