1 Fal. 7:31 SUV

31 Na kinywa chake ndani ya taji na juu yake kilikuwa mkono mmoja; na kinywa chake kikaviringana kama kazi ya tako, mkono mmoja na nusu; tena juu ya kinywa chake kulikuwa na nakshi, na papi zao zilikuwa za mraba, wala hazikuviringana.

Kusoma sura kamili 1 Fal. 7

Mtazamo 1 Fal. 7:31 katika mazingira