1 Nya. 12:2 SUV

2 Walikuwa wenye kupinda upinde, nao walikuwa hodari wa kutumia mkono wa kuume na wa kushoto, kwa kutupa mawe ya teo, na kwa kupiga mishale ya upinde; walikuwa wa nduguze Sauli, wa Benyamini.

Kusoma sura kamili 1 Nya. 12

Mtazamo 1 Nya. 12:2 katika mazingira