35 Basi akamwoza binti yake aolewe na Yarha, mtumwa wake; naye akamzalia Atai.
36 Na Atai akamzaa Nathani; na Nathani akamzaa Zabadi;
37 na Zabadi akamzaa Eflali; na Eflali akamzaa Obedi;
38 na Obedi akamzaa Yehu; na Yehu akamzaa Azaria;
39 na Azaria akamzaa Helesi; na Helesi akamzaa Eleasa
40 na Eleasa akamzaa Sismai; na Sismai akamzaa Shalumu;
41 na Shalumu akamzaa Yekamia; na Yekamia akamzaa Elishama.