1 Nya. 24:31 SUV

31 Hao nao wakatupiwa kura vile vile, kama ndugu zao wana wa Haruni, machoni pa Daudi mfalme, na Sadoki, na Ahimeleki, na wakuu wa mbari za baba za makuhani na za Walawi; mbari za baba za mkuu, vile vile kama za nduguye mdogo.

Kusoma sura kamili 1 Nya. 24

Mtazamo 1 Nya. 24:31 katika mazingira