1 Nya. 29:1 SUV

1 Kisha mfalme Daudi akawaambia kusanyiko lote, Sulemani mwanangu, ambaye Mungu amemchagua peke yake, akali ni mchanga bado na mwororo, nayo kazi hii ni kubwa; kwani nyumba hii ya enzi si kwa mwanadamu, ila kwa BWANA, Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Nya. 29

Mtazamo 1 Nya. 29:1 katika mazingira