1 Nya. 9:22 SUV

22 Hao wote waliochaguliwa kuwa wangojezi wa malango walikuwa watu mia mbili na kumi na wawili. Nao wakahesabiwa kwa nasaba katika vijiji vyao, ambao Daudi na Samweli, huyo mwonaji, walikuwa wamewaweka katika kazi yao waliyoamaniwa.

Kusoma sura kamili 1 Nya. 9

Mtazamo 1 Nya. 9:22 katika mazingira