1 Sam. 14:1 SUV

1 Basi ikatukia siku moja, ya kwamba Yonathani, mwana wa Sauli, akamwambia yule kijana aliyemchukulia silaha zake, Haya! Na tuwavukie Wafilisti ngomeni, pale ng’ambo ya pili. Walakini hakumwarifu babaye.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 14

Mtazamo 1 Sam. 14:1 katika mazingira