1 Sam. 14:17 SUV

17 Ndipo Sauli akawaambia watu waliokuwa pamoja naye, Haya! Hesabuni sasa, mkaone ni nani aliyeondoka kwetu. Nao walipokwisha hesabu, tazama Yonathani na yeye aliyechukua silaha zake hawapo.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 14

Mtazamo 1 Sam. 14:17 katika mazingira