1 Sam. 14:43 SUV

43 Ndipo Sauli akamwambia Yonathani, Niambie ulilolifanya. Basi Yonathani akamwambia, akasema, Ni kweli, mimi nalionja asali kidogo kwa ncha ya fimbo ile iliyokuwa mkononi mwangu; na tazama, imenipasa kufa.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 14

Mtazamo 1 Sam. 14:43 katika mazingira