1 Sam. 17:12 SUV

12 Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrathi, wa Bethlehemu ya Yuda, aliyeitwa jina lake Yese; naye huyo alikuwa na wana wanane; na yeye mwenyewe alikuwa mzee siku za Sauli, na mkongwe miongoni mwa watu.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 17

Mtazamo 1 Sam. 17:12 katika mazingira