1 Sam. 17:13 SUV

13 Nao wale wana watatu wa Yese waliokuwa wakubwa walikuwa wamefuatana na Sauli kwenda vitani, na majina ya hao wanawe watatu waliokwenda vitani ni haya, mzaliwa wa kwanza Eliabu, na wa pili wake Abinadabu, na wa tatu Shama.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 17

Mtazamo 1 Sam. 17:13 katika mazingira