1 Sam. 2:28 SUV

28 Je! Sikumchagua yeye katika kabila zote za Israeli, ili awe kuhani wangu, apande madhabahuni kwangu; na kufukiza uvumba, na kuvaa naivera mbele zangu? Nami sikuwapa watu wa mbari ya baba yako dhabihu zote za wana wa Israeli zilizotolewa kwa moto?

Kusoma sura kamili 1 Sam. 2

Mtazamo 1 Sam. 2:28 katika mazingira