1 Sam. 25:34 SUV

34 Kwa kuwa ni kweli, aishivyo BWANA, Mungu wa Israeli, aliyenizuia nisikudhuru, kwamba hungefanya haraka kuja kunilaki, hakika huyu Nabali asingaliachiwa hata mtoto mume mmoja, kutakapopambazuka asubuhi.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 25

Mtazamo 1 Sam. 25:34 katika mazingira