1 Sam. 25:8 SUV

8 Waulize vijana wako, nao watakuambia; basi na wakubaliwe vijana hawa machoni pako; maana tumekujia katika siku ya heri; uwape, nakusihi, cho chote kitakachokujia mkononi, uwape watumwa wako na mwanao Daudi.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 25

Mtazamo 1 Sam. 25:8 katika mazingira