1 Sam. 9:19 SUV

19 Samweli akamjibu Sauli, akasema, Mimi ndimi mwonaji; tangulia mbele yangu ukwee mpaka mahali pa juu, kwa maana mtakula pamoja nami leo; kisha, asubuhi nitakuacha uende zako, nami nitakuambia yote uliyo nayo moyoni mwako.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 9

Mtazamo 1 Sam. 9:19 katika mazingira