2 Sam. 10:2 SUV

2 Naye Daudi akasema, Nitamtendea wema Hanuni, mwana wa Nahasi, kama babaye alivyonitendea wema mimi. Basi Daudi akatuma kwa mkono wa watumishi wake, ili kumtuliza kwa habari za babaye. Wakaja watumishi wa Daudi katika nchi ya wana wa Amoni.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 10

Mtazamo 2 Sam. 10:2 katika mazingira