19 Lakini alipoona ya kuwa watumishi wake wananong’onezana, Daudi alitambua ya kuwa mtoto amekufa; basi Daudi akawauliza watumishi wake, Je! Mtoto amekufa? Nao wakasema, Amekufa.
Kusoma sura kamili 2 Sam. 12
Mtazamo 2 Sam. 12:19 katika mazingira