2 Sam. 14:30 SUV

30 Kwa hiyo akawaambia watumishi wake, Tazameni, shamba la Yoabu liko karibu na shamba langu, naye ana shayiri huko; nendeni mkalitie moto. Basi watumishi wa Absalomu wakalitia moto lile shamba.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 14

Mtazamo 2 Sam. 14:30 katika mazingira