2 Sam. 15:21 SUV

21 Naye Itai akamjibu mfalme akasema, Kama aishivyo BWANA, na bwana wangu mfalme aishivyo, hakika yake kila mahali atakapokuwapo mfalme, bwana wangu, ikiwa ni kwa kufa au ikiwa ni kwa kuishi, ndipo atakapokuwapo na mtumwa wako.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 15

Mtazamo 2 Sam. 15:21 katika mazingira