2 Sam. 17:20 SUV

20 Nao watumishi wa Absalomu wakamwendea yule mwanamke mle nyumbani; wakasema, Wako wapi Yonathani na Ahimaasi? Yule mwanamke akawaambia, Wamevuka kijito cha maji. Basi walipokwisha kuwatafuta wasiwaone, wakarudi Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 17

Mtazamo 2 Sam. 17:20 katika mazingira