2 Sam. 17:23 SUV

23 Naye Ahithofeli alipoona ya kuwa shauri lake halikufuatwa, akatandika punda wake, akaondoka, akaenda nyumbani kwake, mjini mwake, akaitengeneza nyumba yake, akajisonga; akafa, akazikwa kaburini mwa babaye.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 17

Mtazamo 2 Sam. 17:23 katika mazingira