2 Sam. 17:8 SUV

8 Hushai akafuliza kusema, Wamjua baba yako na watu wake, ya kuwa ni watu mashujaa hawa, nao wana uchungu katika mioyo yao, kama dubu aliyenyang’anywa watoto wake nyikani; tena baba yako ni mtu wa vita, hatalala pamoja na watu wake.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 17

Mtazamo 2 Sam. 17:8 katika mazingira