2 Sam. 18:10 SUV

10 Basi mtu mmoja akaona hayo, akaenda akamwambia Yoabu, akasema, Tazama, mimi nalimwona Absalomu ametundikwa katika mwaloni.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 18

Mtazamo 2 Sam. 18:10 katika mazingira