2 Sam. 18:27 SUV

27 Na huyo mlinzi akasema, Nionavyo mimi, kupiga mbio kwake yule wa kwanza ni kama kupiga mbio kwake Ahimaasi, mwana wa Sadoki. Naye mfalme akasema, Yeye ni mtu mwema, anakuja na habari njema.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 18

Mtazamo 2 Sam. 18:27 katika mazingira