2 Sam. 18:28 SUV

28 Ahimaasi akainua sauti yake, akamwambia mfalme, Amani. Akainama mbele ya mfalme kifudifudi, akasema, Ahimidiwe BWANA, Mungu wako, aliyewatoa watu hao walioiinua mikono yao juu ya bwana wangu, mfalme.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 18

Mtazamo 2 Sam. 18:28 katika mazingira