2 Sam. 18:29 SUV

29 Mfalme akauliza, Je! Yule kijana, Absalomu, yu salama? Ahimaasi akajibu, Yoabu aliponituma mimi mtumishi wa mfalme, mimi mtumishi wako, naliona kishindo kikubwa, lakini sikujua sababu yake.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 18

Mtazamo 2 Sam. 18:29 katika mazingira