2 Sam. 18:5 SUV

5 Mfalme akawaamuru Yoabu na Abishai na Itai, akasema, Mtendeeni yule kijana, Absalomu, kwa upole kwa ajili yangu. Nao watu wote wakasikia, mfalme alipowaagiza maakida wote katika habari za Absalomu.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 18

Mtazamo 2 Sam. 18:5 katika mazingira