17 Na Watu elfu wa Benyamini walikuwa pamoja naye, na huyo Siba mtumwa, nyumba ya Sauli, na hao wanawe kumi na watano, na watumwa wake ishirini pamoja naye; wakavuka Yordani mbele ya mfalme.
Kusoma sura kamili 2 Sam. 19
Mtazamo 2 Sam. 19:17 katika mazingira