18 Tena ikavuka mashua ili kuwavusha jamaa ya mfalme, na kufanya aliyoyaona kuwa mema.Ndipo Shimei, mwana wa Gera, akamwangukia mfalme alipokuwa amevuka Yordani.
Kusoma sura kamili 2 Sam. 19
Mtazamo 2 Sam. 19:18 katika mazingira