2 Sam. 21:20 SUV

20 Kulikuwa na vita tena huko Gathi; ambako kulikuwa na mtu mrefu sana, mwenye vidole sita katika kila mkono, na vidole sita katika kila mguu, jumla yake ishirini na vinne; yeye naye alizaliwa kwa Mrefai.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 21

Mtazamo 2 Sam. 21:20 katika mazingira