2 Sam. 23:16 SUV

16 Basi hao mashujaa watatu wakapenya jeshi la Wafilisti, wakateka maji kutoka kile kisima cha Bethlehemu, kilicho karibu na lango, wakayachukua, wakamletea Daudi; walakini yeye hakukubali kuyanywa, akayamimina mbele za BWANA.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 23

Mtazamo 2 Sam. 23:16 katika mazingira