2 Sam. 23:20 SUV

20 Tena Benaya, mwana wa Yehoyada, mtu hodari wa Kabseeli aliyekuwa amefanya mambo makuu; aliwaua simba wakali wawili wa Moabu, pia akashuka akamwua simba katikati ya shimo wakati wa theluji;

Kusoma sura kamili 2 Sam. 23

Mtazamo 2 Sam. 23:20 katika mazingira