2 Sam. 24:17 SUV

17 Daudi, alipomwoma malaika aliyewapiga watu, akanena na BWANA, akasema, Tazama, ni mimi niliyekosa, ni mimi niliyepotoka; lakini kondoo hawa, wamefanya nini? Mkono wako na uwe juu yangu, na juu ya nyumba ya baba yangu.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 24

Mtazamo 2 Sam. 24:17 katika mazingira