2 Sam. 3:12 SUV

12 Basi Abneri akatuma wajumbe kwa Daudi mahali alipokuwapo, akisema, Nchi hii ni ya nani? Fanya agano nami, na tazama, mkono wangu utakuwa pamoja nawe, ili kuwaleta Israeli wote kwako.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 3

Mtazamo 2 Sam. 3:12 katika mazingira