Amo. 2:9 SUV

9 Lakini nalimwangamiza Mwamori mbele yao, ambaye urefu wake ulikuwa kama urefu wa mierezi, tena alikuwa na nguvu kama mialoni; lakini naliyaangamiza matunda yake toka juu, na mizizi yake toka chini.

Kusoma sura kamili Amo. 2

Mtazamo Amo. 2:9 katika mazingira