Amo. 3:12 SUV

12 Haya ndiyo asemayo BWANA; Kama vile mchungaji apokonyavyo kinywani mwa simba miguu miwili, au kipande cha sikio; ndivyo watakavyopokonywa wana wa Israeli, wakaao Samaria katika pembe ya semadari, na juu ya mito ya hariri ya kitanda.

Kusoma sura kamili Amo. 3

Mtazamo Amo. 3:12 katika mazingira